Mwafrika Digital

https://youtu.be/ArXfq-5TVWA Subscribe Mwafrika TV

BAISA AFUNGUKA ,UZINDUZI JUST

NA,GOODLUCK CHRISTOPHER
Baisa afunguka kuwa sababu kubwa ya kuchelewa kutoa wimbo wa #JUST alitoa nafasi ya albam yakwanza kwenye mauzo hivyo ameamua kuutoa wimbo huu kutokana na uzinduzi wa albam mpya inayo tarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni.

Aidha wimbo wa #JUST uli rekodiwa mwezi Desemba mwaka jana na anatarajia kuuzindua rasimi mwishoni mwa mwezi huu  na ukiwa ni wimbo wa kwanza na mmoja kati ya nyimbo zitakazo patikana katika albam inayo tarajiwa kuzinduliwa mwishoni mwa mwezi juni.

Vilevile amesema kuwa wimbo huu wa #JUST ni wimbo bora kuliko nyimbo zote alizo wahi kufanya tangiapo aanze kuimba.


Pia amemaliza kwa kuwaomba wadawa kutoa ushirikiano ikiwemo kununua wimbo huo,kutembelea channel yake ya YouTebe @BAISA MHELA Ifikapo tarehe 24/4/2018 ili kubarikiwa na wimbo huo.

Chapisha Maoni

0 Maoni