Mwafrika Digital

https://youtu.be/ArXfq-5TVWA Subscribe Mwafrika TV

SERGIO RAMOS AMTAKA NEYMAR,MADRID

Na.mwandishi wetu.

Image result for sergio ramos



NAHODHA  wa Real Madrid Sergio Ramos aitaka Paris Saint-Germain kumuuza  Neymar  kwenda Real Madrid katika dirisha la pili la uhamisho. Neymar aliyeuzwa kwa pesa za  ulaya £ 200m kwenda Ligue 1 wakati akitokea  kwa wapinzani wa Madrid ambao ni Barcelona wakati wa majira ya joto.

Na amekuwa na mwendelezo mzuri mwanzo wa maisha huko Ufaransa baada ya kutia nyavuni  mabao 11 na akisaidia saba katika michezo yake ya kwanza 12 katika mashindano yote. Ramos alikiambia kituo cha redio  chaKihispania Cadena Ser ya soka kubwa ya soka El Larguero: "Napenda kuchezaa na Neymar ni mmoja wa wachezaji ninaohusaudu kuwa nao pamoja kwenye klabu.

 "Labda ilikuwa rahisi kwake kwenda PSG badala ya moja kwa moja  kwendaReal Madrid.Nadhani yeye ni mojawapo ya wachezaji bora duniani, lakini mpira wa miguu unazunguka sana na ni maamuzi ya kibinafsi.
"
 Ramos na Neymar walikutanana kama wapinzani wakati wa mchezo wa mwisho uliofanyika Nou Camp, ambapo Neymar pia alionekana kuwa mpinzani wa Cristiano Ronaldo kwenye tuzo ya  Ballon d'Or.


Hivi karibuni Ronaldo  alisema kuwa klabu yake ni dhaifu msimu huu baada ya kuuza wachezaji muhimu kama James Rodriguez na Pepe Lakini Ramos anasema hakubaliani. Na mchezaji mwenzake Aliiambia Cadena Ser: "Sikubaliana na Cristiano, nadhani ni maoni yake ila manufaa.tuliyapata."Ninaweka msisitizo zaidi juu ya majeruhi.Timu yetu ina nguvu wakati sisi sote tukiwa pamoja.

Chapisha Maoni

0 Maoni