Mwafrika Digital

https://youtu.be/ArXfq-5TVWA Subscribe Mwafrika TV

Catalonia kufanya uchaguzi wake mkuu leo


Serikali ya Madrid inasema hali sasa ni shwari
Hispania.

Raia wa Catalonia leo hii watachagua viongozi wao wapya, katika uchaguzi ambao serikali kuu ya Uhispania inaamini utamaliza msuguano wa kisiasa unaoendelea.

Serikali kuu ya Madrid iliuvunja utawala uliokuwepo awali, baada ya kuandaa kura ya maoni iliyotajwa kuwa haikufuata kanuni, iliyotaka uhuru wa eneo hilo.Watu wengi wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi huuWatu wengi wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi huu

Rais wa Catalonia aliyeondolewa madarakani, Carles Puigdemont, amekuwa akiendeleza kampeni zake za kujitenga na Madrid akiwa uhamishoni chini Ubelgiji kwa kupitia mitandao ya kijamii.

Mwezi Oktoba yalifanyika maandamano makubwa ya Catalonia kutaka kujitenga na HispaniaTakwimu zinaonyesha kuwa vyama vinavyotaka kujitenga na vile vinavyotaka kusalia kwenye serikali ya Madrid vinalingana katika kura za maoni.

Mawaziri wawekwa kizuizini CataloniaHali ya kisiasa si shwari Catal
oniaKiongozi wa Catalonia aliyefutwa "aenda Ubelgiji"Mwandishi wa BBC wa eneo hilo anasema kuna kila dalili uchaguzi huu ukaibua tena hisia za kutaka kujitenga kuliko 

Chapisha Maoni

0 Maoni