Mwafrika Digital

https://youtu.be/ArXfq-5TVWA Subscribe Mwafrika TV

AFANDE AGEUKIA MZIKI WA INJILI

NA,GOODLUCK CHRISTOPHER
Msani chipukizi wa nyimbo za kumsifu Mungu anae fahamikakwa jina la Tuponile Komba afungukab na kusema kuwa ukimya wake unatokana na kubanwa na  majukumu ya kiserikali pamoja na ujasiliamali ili kujitengenezea kipato kinacho muwezesha kuusogeza muziki wake.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na PLAN MEDIA TV Kwanja ya simu hivi karibuni na kutaja moja kati ya changamoto kubwa anayo kabiliana nayo kwa sasa ni majukumu ya kazi yake ya uasikari polisi jambo linalo sababisha mashabiki kumpata marakwamara.

Tupoline ameendelea  kufunguka kwa kuahidi kuachia kazi mpya hivi karibuni ikiwemo kuachia albam mpya inayo enda kwa jina la Kicheko.


Tuponile amemaliza kwa kuwaomba mashabiki kuwa wavumilivu kwa kipindi hiki ambacho yuko kimya lakini pia kutoa ushauri na kusambaza kazi zake kwa mataifa ili wote waweze kuzipata kazi zake.

Chapisha Maoni

0 Maoni