Mwafrika Digital

https://youtu.be/ArXfq-5TVWA Subscribe Mwafrika TV

BAISA ATANGAZA SIKU MBILI ZA JUST

NA,GOODLUCK CHRISTOPHER
Muimbaji maarufu wa nyimbo za injili Tanzania anae fahamika kwa jina la BAISA MHELA atangaza siku mbili za kuachia video ya wimbo wake mpya inayo enda kwa jina la Just, ameyasema hayo mapema leo wakati wa mahojiano na PLAN MEDIA TV.

Baisa ameendelea kuzungumza na kusema kuwa wimbo huo ni bora kuliko nyimbo zote ambazo aliwahi kufanya tangiapo aanze kuimba nyimbo hizo za kumsifu Mungu.


Pia amemaliza kwa kuomba mashabiki kuupokea wimbo huo pamoja na ku subscribe channel yake @BAISA MHELA ili kuwa karibu nae kujua kile kinacho endelea kuhusiana na wimbo huo kuazia sasa.



Chapisha Maoni

0 Maoni