NA,GOODLUCK CHRISTOPHER
Msanii chipukizi wa nyimbo za kumsifu
mungu[injili]nchini Tanzani a anaefahamika kwa majina ya Betha Mwafilombe,amevunja
ukimya kwa kusema anajishughulisha na kilimo cha mpunga lengo lake likiwa ni
kujihimalisha kifedha ili kufikisha muziki wake mbali.
Hayo ameyasema alipokuwa akizungumza na Plan Media katika mahojiano ya
hivi karibuni yaliyofanyika kwa njia ya
simu.
Changamoto kubwa anayo kutana nayo kwasasa ni
ukosefu wa soko la kudumu la kuuzia kazi zake zilizo kwenye mfumo wa CD ambapo
jambo hilo limekuwa tatizo kutokana na utandawazi wa watu kunyonya vitu mitandaoni kwa kutumia simu na kiamba mpakato[computer].
Betha
anatarajia kufanya uzinduzi wa albam yake mpya inayo kwenda kwajina la kwa
Neema ndani ya mwaka huu mala baada ya kukamilisha taratibu zote na kutaja kuwa
utakua uzinduzi wa historia katika taifa la Tanzania.
Amemaliza kwakuomba ushirikiano kutoka kwa mashabiki
wa kazi zake kwa mchango wa pesa au mawazo ili kuisogeza huduma yake kutoka
sehemu moja kwenda sehemu nyingine.
Kwa mahitaji ya CD
Piga namba +255 713 305 650


0 Maoni