Mwafrika Digital

https://youtu.be/ArXfq-5TVWA Subscribe Mwafrika TV

WAKAZI WA MTAA WA BUGURUNI WALAMIKIA SERIKALI YA MTAA

Wakazi wa buguruni mkoani Dar es salaam walalamikia ongezeko la ada ya uzoaji wa taka kutoka shilingi elfu tano (5000) hadi shilingi elfu saba (7000) katika hali isiyo ya kawaida wakazi hao walalamikia serikali ya mtaa huo kwa ongezeka hilo la shilingi elfu mbili (2000).
Wakati wa mahojiano na mwandishi wetu wakazi hao wameiambia plan media kuwa mbali na ongezeko la ada hiyo wamekua wakicheleweshewa gari za kubebea takataka ambapo inapelekea kuwepo kwa mrundikano wa takataka  ambazo husababisha madhara kiafya.
Plan media ilimtafuta mwenyekiti wa mtaa Ndugu.Karim Marapa alisema kuwa nikweli ada imepanda katika uzoaji taka ikiwa ni makubaliano ya serikali ya mtaa pamoja na wananchi wake.
Aliendelea kuzungumza ndugu Marapa kuwa wananchi wananchi wanatakiwa kuwa na uvumilivu na serikali yao kwani kero zao zinafanyiwa kazi hivyo ni vizuri wakatoa ushirikiano ili kuisaidia serikali kuwatimizia yale waliyo waahidi.
Mwisho kabisa ni maoni ya mwananchi ambapo mwandishi wetu alipata kuzungumza na Ndugu.Beshe Buhira ambae ni mkazi wa mtaa huo alisema kuwa anawaomba wahusika wa ukusanyaji wa takataka katika mtaa huo waongeze bidii katika kazi yao ili kuhakikisha wanajenga uhusiano mzuri na wananchi.

Chapisha Maoni

55 Maoni

  1. Enter your comment...Hii ndiyo Tanzania yetu, ufuatiliaji upo ktk ngaz za juu ukija ktk ngaz za chini bado ni madudu

    JibuFuta
    Majibu
    1. Asante, wazo lako; nini kifanyike?

      Futa
    2. Hili ni swala la wakazi na serikali yao kukaa wafikie mwafak

      Futa
  2. Asante ndugu @Obby Tz kwa comment yako

    JibuFuta
  3. Hi, I am Subhash to follow your website and get these all useful posts. Thank you so much and for you all the best. That is a great job.
    digital marketing company in india

    JibuFuta
  4. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  5. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  6. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  7. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  8. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  9. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  10. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  11. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  12. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  13. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  14. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  15. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  16. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  17. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  18. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  19. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  20. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  21. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  22. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  23. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  24. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  25. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  26. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  27. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  28. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  29. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  30. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  31. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  32. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  33. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  34. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  35. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  36. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  37. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  38. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  39. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  40. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  41. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  42. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  43. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  44. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  45. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  46. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  47. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  48. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  49. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  50. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  51. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  52. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta
  53. Chapisho hili limeondolewa na msimamizi wa blogu.

    JibuFuta