Mwafrika Digital

https://youtu.be/ArXfq-5TVWA Subscribe Mwafrika TV

MAKAMBA AINYOSHEA MKONO COASTAL UNION



 

 


Mbunge wa Bumbuli Mkoani Tanga Mh January Makamba aahidi kulipa mshahara kwa wachezaji wote pamoja na huduma mbalimbali kama vile chakula na Usafiri kwa kipindi cha mwaka mmoja.
 
Mbunge huyo na Mdau mkubwa wa Coastal Union aliyasema hayo septemba 17,mwaka huu katika uwanja wa Ccm Mkwakwani Mkoani Tanga mara baada ya kumalika mchezo wa kwanza wa  ligi daraja la kwanza ambao uliwakutanisha  wenyeji Coastal Union dhidi ya Mbeya Kwanza ya Mkoani Mbeya.
Hata hivyo Makamba awahakikishia mashabiki na wapenzi wa Coastal Union kushikamana nao ilikuhakikisha Timu hiyo inarudu katika enzi zake “Kwa imani yangu ni kwamba ambapo siku ya leo nimepata bahati ya kuhudhuria mchezo ambapo timu yetu sasa inatakakurudi katika enzi zake imani yangu ni kwamba safari  hiyo itakamilika vizuri na mimi kama mshabiki lakini kama kiongozi wa Tanga nimewaambia Viongozi wa Coasta union kuwa safari hii Timu yetu wachezaji hawata kosa mishaara,chakula wala pesa ya kusafiri” Alisema Mh Makamba.
Na mchezo huo ulimalizika kwa timu ya Coastal union kuibuka na ushindi wa Goli moja kwa sifuri,goli ambalo limefungwa na Raidhim Haffidh mnamo dakika ya pili ya nyongeza katika kipindi cha kwanza.

 Mbunge wa Bumbuli Mkoani Tanga Mh January Makamba aahidi kulipa mshahara kwa wachezaji wote pamoja na huduma mbalimbali kama vile chakula na Usafiri kwa kipindi cha mwaka mmoja.


Mbunge huyo na Mdau mkubwa wa Coastal Union aliyasema hayo septemba 17,mwaka huu katika uwanja wa Ccm Mkwakwani Mkoani Tanga mara baada ya kumalika mchezo wa kwanza wa  ligi daraja la kwanza ambao uliwakutanisha  wenyeji Coastal Union dhidi ya Mbeya Kwanza ya Mkoani Mbeya.

Hata hivyo Makamba awahakikishia mashabiki na wapenzi wa Coastal Union kushikamana nao ilikuhakikisha Timu hiyo inarudu katika enzi zake “Kwa imani yangu ni kwamba ambapo siku ya leo nimepata bahati ya kuhudhuria mchezo ambapo timu yetu sasa inatakakurudi katika enzi zake imani yangu ni kwamba safari  hiyo itakamilika vizuri na mimi kama mshabiki lakini kama kiongozi wa Tanga nimewaambia Viongozi wa Coasta union kuwa safari hii Timu yetu wachezaji hawata kosa mishaara,chakula wala pesa ya kusafiri” Alisema Mh Makamba.

Na mchezo huo ulimalizika kwa timu ya Coastal union kuibuka na ushindi wa Goli moja kwa sifuri,goli ambalo limefungwa na Raidhim Haffidh mnamo dakika ya pili ya nyongeza katika kipindi cha kwanza.


Chapisha Maoni

0 Maoni