Mwafrika Digital

https://youtu.be/ArXfq-5TVWA Subscribe Mwafrika TV

TUNDU LISSU APIGWA RISASI



TUNDU LISSU APIGWA RISASI


Mbunge wa Singinda Mashariki [CHADEMA] na Raisi wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika [TLC] Mh.Tundu Lissu apigwa risasi na watu wasiojulikana mjini Dodoma.
Lisu alipelekwa katika hispitali ya lufaa mkoani Dodoma ambapo kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni Hh. Freeman Mbowe, Katibu wa Bunge Dk. Thomas  Kashilila na viongozi wengine walifika katka hispitali hiyo kumjulia hali.
Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Dodoma wajitokeza kwa wingi katika hospitali hiyo huku wakitahamaki na kulaani tukio hilo la kinyama.

Chapisha Maoni

0 Maoni